iqna

IQNA

Aidarus
TEHRAN (IQNA)- Waislamu katika eneo la Matondoni, kaunti ya Lamu nchini Kenya leo wameshiriki katika matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474356    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

Magaidi wa kundi al Qaida wamemuua imam mmoja wa Yemen anayefahamika kwa kupinga mashambulizi ya umwagaji damu yaliyoanzishwa na Saudia katika ardhi ya Yemen mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu.
Habari ID: 3316631    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/21