Baadhi ya Waislamu katika nchi za Iraq, Uturuki, Qatar, Misri, Saudi Arabia na Bahrain leo wanasherehekea sikukuu ya Idul Fitr baada ya kutangazwa rasmi mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani katika nchi hizo.
2014 Jul 28 , 12:09
Baada ya kumalizika muhula wa usitishwaji vita wa muda katika Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni wa Israel umeanzisha tena hujuma zake za kinyama dhidi ya eneo hilo la Wapalestina.
2014 Jul 27 , 10:58
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, harakati hiyo itaendelea kuwaunga mkono wananchi madhlum wa Palestina na muqawama wao na kwamba harakati hiyo haitasita hata kidogo kutoa msaada wowote unaohitajika katika kupambana na adui Wazayuni.
2014 Jul 26 , 21:23
Leo inasadifiana na Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambayo ni Siku ya Kimataifa ya Quds. Hii ni siku ya kupata nguvu upya taifa madhulumu la Palestina na ni siku ambayo inaunganisha nguvu za umma mzima wa Waislamu na kila mpenda haki duniani katika kupambana na utawala wa kibaguzi wa Kizayuni.
2014 Jul 25 , 22:34
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba, njia pekee ya kukabiliana na utawala wa kinyama wa Israel, ni kuwepo muqawama wa kutumia silaha wa Wapalestina na kupanuka wigo huo wa mapambano hadi kwenye eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
2014 Jul 25 , 22:14
Hatimaye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Julai 20 lilivunja kimya chake na kudai kuwa linasikitishwa na idadi kubwa ya raia wanaouliwa na kujeruhiwa huko Ukanda wa Ghaza na kutaka kusimamishwa mara moja kile ilichokitaja kuwa ni uhasama.
2014 Jul 22 , 21:39
Idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili yaliyofanywa na jeshi vamizi la Israel katika eneo la Shujaiyya huko Ghaza imepindukia watu 100 na zaidi ya 200 wengine kujeruhiwa.
2014 Jul 21 , 15:29
Utawala haramu wa Israel umezidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi kwa kuanzisha hujuma ya kijeshi ya nchi kavu katika Ukanda wa Gaza.
2014 Jul 19 , 19:10
Daktari Erik Fosse kutoka Norway ambaye yuko katika eneo la Ukanda wa Ghaza linalozingirwa na utawala haramu wa Israel kwa miaka kadhaa sasa, ameukosoa vikali utawala huo ghasibu kwa kutupa mabomu yenye kusababisha maradhi ya saratani dhidi ya wananchi wa Palestina walioko katika eneo hilo.
2014 Jul 14 , 19:33
Utawala haramu wa Israel unaendeleza jinai zake za kinyama katika Ukanda wa Ghaza ambapo mbali na kuwaua shahidi Wapalestina wakiwemo wanawake na watoto pia utawala huo umebomoa misikiti, nyumba, na mahospitali katika eneo hilo la Palestina.
2014 Jul 14 , 17:30
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani na kusisitiza kwamba ulimwengu wa Kiislamu unapasa kuchukua hatua madhubuti za kuhakikisha unakomesha haraka iwezekanavyo mzingiro wa kidhulma uliowekwa na Wazayuni dhidi ya wananchi wa eneo la Ukanda wa Ghaza
2014 Jul 11 , 10:40
Msomi wa Misri mwenye makao yake Qatar Sheikh Yusuf Qardhawi ametangaza kupinga tangazo la matakfiri wa Daesh la kuanzisha kile wanachokiita eti ni 'Khilafa' au utawala wa Kiislamu katika maeneo waliyoyateka Iraq.
2014 Jul 06 , 10:19
Magaidi wa kitakfiri kutoka kundi linalojiita Dola la Kiislamu la Iraq na Sham (Daesh) wamebomoa misikiti na maeneo kadhaa matakatifu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni katika mkoa unaokumbwa na vita wa Nainawa nchini Iraq.
2014 Jul 06 , 10:00