IQNA

Ayatullah Aarafi alaani mauaji ya kutisha Sudan, atoa wito hatua kuchukuliwa

IQNA-Ayatullah Alireza Aarafi, Mkurugenzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauzah) nchini Iran ametoa ujumbe mzito wa kulaani mauaji ya kikatili dhidi ya watu...

Wanafunzi Waislamu Nchini Uswidi Wabadilisha Shule Ili Kuepuka Ubaguzi wa Rangi

IQNA-Katika ripoti mpya iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya Uswidi, imebainika kuwa idadi kubwa ya wanafunzi Waislamu wamekuwa wakihama shule kutokana...

Watu Kadhaa Wajeruhiwa Katika Mlupuko Msikitini Shule ya Jakarta, Chanzo Chachunguzwa

IQNA – Takriban watu 54 wamejeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika msikiti ulioko ndani ya eneo la shule jijini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, siku...

Hati Adimu za Qur’ani Zawasilishwa katika Nyumba ya Sanaa za Kiislamu ya Jeddah

IQNA – Nyumba ya Makumbusho ya Sanaa za Kiislamu mjini Jeddah, maarufu kwa jina la Dar al-Funun al-Islamiyyah, imeandaa maonesho ya hati adimu za Qur’ani...
Habari Maalumu
Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

IQNA – Mkutano wa 4 wa Kimataifa kuhusu Usanifu wa Misikiti wa mwaka 2025 uliofanyika mjini Istanbul, Uturuki, umesisitiza haja ya kufikiria upya nafasi...
07 Nov 2025, 18:24
Usomaji wa Qur'ani wa Karne Kadhaa Waendelea Bila Kukoma Katika Kasri ya Istanbul

Usomaji wa Qur'ani wa Karne Kadhaa Waendelea Bila Kukoma Katika Kasri ya Istanbul

IQNA-Katika kasri maarufu la Topkapi jijini Istanbul, utamaduni wa kale wa Kiislamu wa usomaji wa Qur'ani Tukufu umeendelea bila kukoma kwa karne...
06 Nov 2025, 21:13
Mashindano Makuu ya Qur'ani ya Al-Azhar yameanza kwa ushiriki wa watu 150,000 nchini Misri

Mashindano Makuu ya Qur'ani ya Al-Azhar yameanza kwa ushiriki wa watu 150,000 nchini Misri

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimezindua awamu ya kwanza ya mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu, maarufu kama...
06 Nov 2025, 20:44
Mwanamke Mpalestina Apambana na Saratani kwa Kuhifadhi Qur’an

Mwanamke Mpalestina Apambana na Saratani kwa Kuhifadhi Qur’an

IQNA – Shorouk Marar ni mwanamke kutoka mji wa Beit Daqo, kaskazini-magharibi mwa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, ambaye ana kisa cha azma...
05 Nov 2025, 16:34
Mwanazuoni: Bibi Fatima ni Mfano Hai wa Maana ya Qur’ani ya ‘Kawthar’

Mwanazuoni: Bibi Fatima ni Mfano Hai wa Maana ya Qur’ani ya ‘Kawthar’

IQNA – Mwanazuoni mmoja amesema kuwa Bibi Fatima al-Zahra (AS) ndiye dhihirisho halisi la maana ya “Kawthar” kama ilivyoelezwa katika Qur’ani Tukufu, akimtaja...
05 Nov 2025, 16:13
Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele...
05 Nov 2025, 16:07
Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

IQNA-Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa...
05 Nov 2025, 12:09
Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

IQNA – Chuo Kikuu cha Houston kilichopo jimbo la Texas, Marekani, kimetangaza kuwa kinachunguza tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur'an Tukufu...
05 Nov 2025, 16:00
Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila
Ushirikiano Katika Qur'ani/ 8

Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila

IQNA-Katika Uislamu, kuna kanuni inayoitwa ta’āwun , yaani kushirikiana katika mambo ya kheri. Waislamu wanapaswa kusaidiana katika mema, lakini wajiepushe...
04 Nov 2025, 21:15
Taasisi ya Kimataifa ya Qur'ani kuundwa

Taasisi ya Kimataifa ya Qur'ani kuundwa

IQNA – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu na Mahusiano ya Kimataifa amesema kuwa taasisi hiyo inapanga kuanzisha Taasisi ya Kimataifa...
04 Nov 2025, 19:22
Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

IQNA – Katika mji wa Mashhad, bendera ya kijani iliyokuwa juu ya kuba ya kaburi tukufu la Imam Ridha (AS) imeondolewa na kubadilishwa na bendera nyeusi,...
04 Nov 2025, 20:41
Maandamano ya Siku ya Kupambana na Ubeberu yafanyika kote Iran

Maandamano ya Siku ya Kupambana na Ubeberu yafanyika kote Iran

IQNA-Maandamano ya Siku ya Mwenyezi Mwenyezi Mungu yaani Aban 13 ambayo ni Siku ya Taifa ya Iran ya Kupambana na ubeberu na uistikbari yamefanyika hapa...
04 Nov 2025, 20:08
Sherehe Kubwa Nchini Misri Kuwatukuza Wahifadhi wa Qur’ani wa Al-Azhar

Sherehe Kubwa Nchini Misri Kuwatukuza Wahifadhi wa Qur’ani wa Al-Azhar

IQNA – Sherehe maalum ya kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani Tukufu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar imefanyika katika mkoa wa Giza nchini Misri.
04 Nov 2025, 19:33
Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo wa Iran na Marekani ni wa dhati

Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo wa Iran na Marekani ni wa dhati

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa mzozo uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani...
04 Nov 2025, 07:06
Waislamu Wapanda Miti 10,000 Jijini Nairobi Kuonesha Mshikamano na Palestina

Waislamu Wapanda Miti 10,000 Jijini Nairobi Kuonesha Mshikamano na Palestina

IQNA – Katika hatua ya mshikamano wa kimazingira na kisiasa, Waislamu wa Kenya walipanda takribani miti 10,000 katika Bustani ya Uhuru jijini Nairobi kwa...
03 Nov 2025, 17:27
Mtaalamu wa Vyombo vya Habari: Dira ya Kiislamu Inahitaji Ufikishaji wa Kisasa

Mtaalamu wa Vyombo vya Habari: Dira ya Kiislamu Inahitaji Ufikishaji wa Kisasa

IQNA – Mwanazuoni wa vyombo vya habari kutoka Sudan, Mohammad al-Nour al-Zaki, amesema kuwa Uislamu una mtazamo wa kina na wa kuunganisha kuhusu mwanadamu...
03 Nov 2025, 17:33
Picha‎ - Filamu‎