IQNA

Ukumbi wa Dar-ul-Qur'an wa Msikiti Mpya katika mji Mkuu wa Utawala wa Misri wavutia wengi

IQNA – Ukumbi wa Kituo cha Dar-ul-Qur'an katika msikiti wa mji mkuu mpya wa utawala wa Misri ni miongoni mwa sehemu zinazo tembelewa zaidi katika eneo...
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Qur’ani Sri Lanka yalenga kuhimiza utiifu kwa Mafundisho ya Qur’ani

IQNA - Hatua ya mwisho ya shindano la kitaifa la pili la kuhifadhi Quran la Sri Lanka yamefanyik leo, Januari 19, huko Colombo, mji mkuu.
Qur'ani Tukufu

Wanafunzi wa Vyuo vya Kiislamu kutoka nchi 10 wanashiriki Mashindano ya Qur'ani ya Najaf

IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanaendelea katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, yakishirikisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauza)...
Qur'ani Tukufu

Haram ya Imam Hussein (AS) yatangaza Programu za Siku ya Kimataifa ya Qur'ani 2025 

IQNA – Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq, imetangaza ratiba kabambe kwa ajili ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Qur'ani mnamo 27...
Habari Maalumu
Usitishaji vita wa Gaza waanza baada ya siku 471 za jinai za Israel
Muqawama

Usitishaji vita wa Gaza waanza baada ya siku 471 za jinai za Israel

IQNA - Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya utawala katili wa Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, yameanza kutekelezwa...
19 Jan 2025, 17:10
Mtaalamu Asema Vitabu 80,000 Vilisomwa Kuandika 'Yote ya Nahj al-Balagha'
Utafiti

Mtaalamu Asema Vitabu 80,000 Vilisomwa Kuandika 'Yote ya Nahj al-Balagha'

IQNA – Kitabu cha lugha ya Kiarabu, "Yote ya Nahj al-Balagha," (Tamam Nahj al Balagha) kinatoa mkusanyiko uliotafitiwa na kamili wa maneno ya Imam Ali...
18 Jan 2025, 22:55
Sheikh Naeem Qassim: Nafasi ya Gaza itasajiliwa katika historia
Gaza

Sheikh Naeem Qassim: Nafasi ya Gaza itasajiliwa katika historia

IQNA-Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepongeza makubaliano ya kustisha vita katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa nafasi ya Gaza katika...
18 Jan 2025, 23:00
Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran: Utawala wa Kizayuni umelazimik kusitisha vita baada ya kukata tamaa
Muqawama

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran: Utawala wa Kizayuni umelazimik kusitisha vita baada ya kukata tamaa

IQNA – Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni umelazimika kusitisha mapigano na Harakati ya Kiislamu ya Ukombozi wa Palestina,...
18 Jan 2025, 22:37
Ushawishi wa Lugha ya Qur'ani katika Kazi za 'Sheikh wa Watarjumi wa Ulimwengu wa Kiarabu'
Fasihi

Ushawishi wa Lugha ya Qur'ani katika Kazi za 'Sheikh wa Watarjumi wa Ulimwengu wa Kiarabu'

IQNA – Mohammad Anani alikuwa profesa wa tarjama au tafsiri na fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cairo na mmoja wa watafsiri au watarjumi mashuhuri...
18 Jan 2025, 22:26
Wito wa tarjuma ya Tafsiri ya Tasnim ili kupanua ufahamu wa Qur’ani duniani 
Tafsiri

Wito wa tarjuma ya Tafsiri ya Tasnim ili kupanua ufahamu wa Qur’ani duniani 

IQNA – Mwanadiplomasia wa Iran ametoa wito wa kutarjumiwa Tafsiri ya Tasnim, kazi kubwa ya tafsiri ya Qur’ani, katika lugha mbalimbali ili kufanya maarifa...
18 Jan 2025, 13:04
Waumini milioni 5.5 wazuru Al Masjid An Nabawi Katika Wiki Moja
Umrah

Waumini milioni 5.5 wazuru Al Masjid An Nabawi Katika Wiki Moja

IQNA – Al Masjid An Nabawi au Msikiti wa Mtume huko Madina ulipokea waumini 5,475,443 wiki iliyopita wakati ripoti inaonyesha zaidi ya waumini milioni...
17 Jan 2025, 23:12
Urekebishaji wa Nakala Adimu ya Msahafu wa Karne ya 10 Kuanza  Karbala
Turathi

Urekebishaji wa Nakala Adimu ya Msahafu wa Karne ya 10 Kuanza Karbala

IQNA – Urekebishaji wa kurasa za nakala adimu ya Msahafu (Qur'ani) wa karne ya 10 Miladia umeanza huko Karbala, Iraq. Haya ni kwa mujibu wa Latif Abdulzahra,...
17 Jan 2025, 22:42
Msikiti wa Los Angeles ulioteketea kwa moto kujengwa upya

Msikiti wa Los Angeles ulioteketea kwa moto kujengwa upya

IQNA – Kufuatia moto mbaya huko Los Angeles, California nchini Marekani ambao umeuteketeza Msikiti wa At-Taqwa, jamii ya Waislamu imekusanya zaidi ya dola...
17 Jan 2025, 23:25
Israel imeua Wapalestina zaidi ya 100 huko Gaza baada ya mapatano ya usitishaji vita
Jinai za Israel

Israel imeua Wapalestina zaidi ya 100 huko Gaza baada ya mapatano ya usitishaji vita

IQNA-Idara ya Ulinzi wa Raia ya Gaza imetangaza leo Ijumaa kuwa Wapalestina wasiopungua 101, wakiwemo watoto 27 na wanawake 31, wameuawa shahidi katika...
17 Jan 2025, 22:51
Ayatullah Khamenei: Wanamapambano wa Palestina wameilazimisha Israel kurudi nyuma
Kadhia ya Palestina

Ayatullah Khamenei: Wanamapambano wa Palestina wameilazimisha Israel kurudi nyuma

IQNA-Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita huko Gaza, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwenye...
16 Jan 2025, 16:38
Hamas yasema  mapatano ya kusitisha vita ni matunda na mapambano ya miezi 15 huko Ghaza
Kadhia ya Palestina

Hamas yasema mapatano ya kusitisha vita ni matunda na mapambano ya miezi 15 huko Ghaza

IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kuwa, kulazimika utawala wa Kizayuni kukubali kusimamisha vita na kukomesha mauaji yake...
16 Jan 2025, 16:44
Hamas yathibitisha kuafiki mapatano ya usitishaji vita Gaza
Muqawama

Hamas yathibitisha kuafiki mapatano ya usitishaji vita Gaza

IQNA- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) imeidhinisha pendekezo la kusimamisha mapigano kwa Ukanda wa Gaza ambayo yamefikiwa kwa upatanishi...
15 Jan 2025, 23:38
Kisa cha Kujitoa Muhanga Usiku wa Laylat al-Mabit 
Ali katika Qur'ani/2 

Kisa cha Kujitoa Muhanga Usiku wa Laylat al-Mabit 

IQNA – Wafasiri wengi wanaamini kuwa aya ya 207 ya Surah Al-Baqarah katika Qur'ani Tukufu inamhusu Imam Ali (AS) kwa kitendo chake cha kujitoa muhanga...
15 Jan 2025, 17:14
Mohammed Al-Faqih, Qari wa Qur'ani kutoka Yemeni aliyevuma katika mitandao ya kijamii
Qarii maarufu

Mohammed Al-Faqih, Qari wa Qur'ani kutoka Yemeni aliyevuma katika mitandao ya kijamii

IQNA-Sheikh Muhammad Hussein al-Faqih ni hafidh na qari wa Qur'ani kutoka Yemen ambaye ameanza kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na...
15 Jan 2025, 18:41
Arbaeen ni jibu la kivitendo kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

Arbaeen ni jibu la kivitendo kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesema kuwa mjumuiko na matembezi ya Arbaeen, yanayofanyika kila mwaka huko Karbala, yanatoa ujumbe wa mwangaza na ni “jibu...
15 Jan 2025, 17:29
Picha‎ - Filamu‎