IQNA

Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam

Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam

IQNA-Istighfar, yaani kuomba msamaha kwa Allah, ni ibada yenye athari nyingi katika maisha ya Mwislamu. Lengo kuu na la moja kwa moja la mwenye kuomba msamaha ni kusamehewa dhambi zake na kupata radhi za Allah.
16:47 , 2025 Dec 23
Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA-Nahj al-Balagha, sambamba na Qur’ani Tukufu, litakuwa kiini cha Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran.
16:36 , 2025 Dec 23
Wizara ya Awqaf ya Qatar yazindua awamu ya tatu ya Mpango wa Qur’ani wa“Asaneed” kwa Maimam

Wizara ya Awqaf ya Qatar yazindua awamu ya tatu ya Mpango wa Qur’ani wa“Asaneed” kwa Maimam

IQNA – Baada ya mafanikio ya awamu zilizopita, Wizara ya Awqaf ya Qatar imezindua toleo la mwaka 2025–2026 la mpango wa “Asaneed” kwa lengo la kuboresha ufasaha wa usomaji wa Qur’ani kwa maimam.
16:27 , 2025 Dec 23
Jinsi ya kuzungumza na watoto kuhusu maudhui ya chuki dhidi ya Uislamu

Jinsi ya kuzungumza na watoto kuhusu maudhui ya chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Kugundua kuwa mtoto wako amekutana na hotuba ya chuki dhidi ya Uislamu mtandaoni ni jambo linaloweza kutisha.
16:19 , 2025 Dec 23
Msikiti wa “Fakhrul-Muslimin” (Fakhari ya Waislamu) nchini Urusi wavutia wageni

Msikiti wa “Fakhrul-Muslimin” (Fakhari ya Waislamu) nchini Urusi wavutia wageni

IQNA – Msikiti wa Fakhrul-Muslimin, maarufu kama “Fakhari ya Waislamu”, ulioko nchini Urusi, unavutia idadi kubwa ya wageni kutokana na usanifu wake wa kipekee.
16:05 , 2025 Dec 23
Filamu | Dua ya Mwezi wa Rajab kama inavyosomwa na marhum Musawi Qahhar

Filamu | Dua ya Mwezi wa Rajab kama inavyosomwa na marhum Musawi Qahhar

IQNA- Tukiwa tumeingia katika mwezi mtukufu wa Rajab al-Murajjab, kundi la hamziya Al-Ghadir (Tanin) limetoa na kuzindua kazi mpya yenye jina "Dua ya Mwezi wa Rajab". Kazi hii imetayarishwa kwa mtindo wa kisomo maarufu cha dua cha marehemu Sayyid Abulqasim Musawi Qahhar, Allah amrehemu na ampe makazi ya amani peponi.
14:06 , 2025 Dec 23
Filamu | Dua ya Mwezi wa Rajab kama inavyosomwa na marhum Musawi Qahhar

Filamu | Dua ya Mwezi wa Rajab kama inavyosomwa na marhum Musawi Qahhar

IQNA- Tukiwa tumeingia katika mwezi mtukufu wa Rajab al-Murajjab, kundi la hamziya Al-Ghadir (Tanin) limetoa na kuzindua kazi mpya yenye jina "Dua ya Mwezi wa Rajab". Kazi hii imetayarishwa kwa mtindo wa kisomo maarufu cha dua cha marehemu Sayyid Abulqasim Musawi Qahhar, Allah amrehemu na ampe makazi ya amani peponi.
14:05 , 2025 Dec 23
Mwanazuoni asifu mwitikio imara ya Wayemini dhidi ya kudhalilishwa kwa Qur’ani Tukufu

Mwanazuoni asifu mwitikio imara ya Wayemini dhidi ya kudhalilishwa kwa Qur’ani Tukufu

IQNA – Mkuu wa Baraza la Maendeleo ya Utamaduni wa Qur’ani Tukufu nchini Iran, Hujjatul Islam Mohammad Qomi, amepongeza mwitikio wa nguvu wa wananchi wa Yemen kufuatia kitendo cha kuvunjiwa heshima kwa Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mgombea wa Seneti nchini Marekani.
16:57 , 2025 Dec 22
Kuvunjiwa heshima Qur’ani ni sehemu ya kuongezeka kwa uadui dhidi ya Waislamu Magharibi

Kuvunjiwa heshima Qur’ani ni sehemu ya kuongezeka kwa uadui dhidi ya Waislamu Magharibi

IQNA – Tukio la hivi karibuni la kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Stockholm nchini Uswidi si jambo la pekee, bali ni sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya kibaguzi na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) yanayoongezeka nchini Uswidi (Sweden) na maeneo mengine ya Magharibi.
16:46 , 2025 Dec 22
Pushkin: Malenga wa Urusi aliyevutiwa na Qur’ani Tukufu

Pushkin: Malenga wa Urusi aliyevutiwa na Qur’ani Tukufu

IQNA – Athari ya Qur’an Tukufu haijabakia kwa washairi Waarabu na Waislamu pekee, bali imevuka mipaka na kuwagusa pia washairi na waandishi mashuhuri wa tamaduni nyingine.
16:36 , 2025 Dec 22
Watu wamzawadia gari hafidh wa Qur’ani Tukufu nchini Misri

Watu wamzawadia gari hafidh wa Qur’ani Tukufu nchini Misri

IQNA- Wakazi wa kijiji cha Tabloha, jimbo la Menoufia, wamemzawadia gari kijana mwenye ulemavu wa machi Misri, Abdul Rahman Mahdi, baada ya kushinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri.
16:22 , 2025 Dec 22
Mufti Mkuu wa Uganda asifu harakati za Iran za kuimarisha umoja

Mufti Mkuu wa Uganda asifu harakati za Iran za kuimarisha umoja

IQNA- Mufti Mkuu wa Uganda, Sheikh Shaban Ramadhan Mubajje, amepongeza juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuimarisha mshikamano wa Waislamu.
15:02 , 2025 Dec 22
Mji  wa Isfahan, Iran wafunikwa kwa theluji

Mji wa Isfahan, Iran wafunikwa kwa theluji

IQNA – Mji wa kihistoria wa Isfahan, katikati ya Iran, uliamka Ijumaa, tarehe 19 Disemba 2025, ukishuhudia mandhari ya kuvutia pale theluji ya kwanza ya vuli ilipolala juu ya mandhari zake maarufu. Upepo wa theluji laini ulienea katika mji huo ambao ni maarufu Kiajemi kama Nisfe Jehan yaani “Nusu ya Dunia." Neema hiyo ya mmwenyezi Mungu ilieneza furaha na kuleta bashasha halisi mitaani.
21:15 , 2025 Dec 21
Israel yalaaniwa baada ya kushambulia sherehe ya harusi Gaza

Israel yalaaniwa baada ya kushambulia sherehe ya harusi Gaza

IQNA- Utawala haramu wa Israel unaendelea kulaaniwa vikali  baada ya kushambulia kikatili sherehe ya harusi Gaza huku shirika mashuhuri la haki za kiraia za Waislamu nchini Marekani likitaka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati.
21:07 , 2025 Dec 21
Saudi Arabia Yazindua Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Saudi Arabia Yazindua Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA-Mashindano ya 27 ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu yameanza nchini Saudi Arabia.
21:03 , 2025 Dec 21
1