IQNA

Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yafanyika Japan

Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yafanyika Japan

IQNA – Toleo la 26 la Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani nchini Japan limefanyika chini ya usimamizi wa Jumuiya ya Waislamu wa Japan.
22:01 , 2026 Jan 05
Mashindano ya Qur’ani kwa Wanafunzi Yazinduliwa Yemen

Mashindano ya Qur’ani kwa Wanafunzi Yazinduliwa Yemen

IQNA – Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka shule za serikali na binafsi yameanza Jumapili katika Mkoa wa Hodeidah, Yemen.
21:52 , 2026 Jan 05
Mwanamke Mmarekani asilimu mbele ya Qari wa Misri

Mwanamke Mmarekani asilimu mbele ya Qari wa Misri

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri wa Misri, amechapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa Facebook video inayoonyesha mwanamke Mmarekani akisilimu katika moja ya misikiti nchini Marekani.
21:44 , 2026 Jan 05
Safdari miongoni mwa Maqari wa Iran waliofuzu Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Qatar

Safdari miongoni mwa Maqari wa Iran waliofuzu Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Qatar

IQNA – Reza Safdari, qari mashuhuri kutoka mkoa wa Sistan na Baluchestan, kusini mashariki mwa Iran, amejiunga na kundi la wanaofuzu kuingia fainali za mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini Qatar.
21:27 , 2026 Jan 05
Taarifa ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon kuhusu jinai ya Marekani nchini Venezuela

Taarifa ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon kuhusu jinai ya Marekani nchini Venezuela

IQNA – Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon imesisitiza katika taarifa yake kwamba watu wa Venezuela, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, watazima njama ya Marekani. Wameongeza kuwa mataifa huru na yenye mamlaka yao yanapaswa kusimama pamoja kukabiliana na dhulma na jinai za Marekani na kuunda ushirikiano wa kimkakati.
21:03 , 2026 Jan 05
Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Paris asema mwaka 2025 ulikuwa mgumu zaidi kwa Waislamu Ufaransa

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Paris asema mwaka 2025 ulikuwa mgumu zaidi kwa Waislamu Ufaransa

IQNA – Sheikh Chems-Eddine Hafiz, mlezi wa Msikiti Mkuu wa Paris, amesema mwaka 2025 ulikuwa miongoni mwa miaka migumu zaidi kwa Waislamu nchini Ufaransa, ukitawaliwa na matukio ya vurugu yaliyofikia kiwango cha “kuuawa kwa misingi ya dini.”
14:51 , 2026 Jan 04
Kiongozi wa Hizbullah:Jenerali Soleimani alikuwa nguzo ya  Mhimili wa Muqawama

Kiongozi wa Hizbullah:Jenerali Soleimani alikuwa nguzo ya Mhimili wa Muqawama

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah amemkumbuka Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani kwa kusifu nafasi yake ya kipekee katika kupinga Marekani, akieleza kuwa kazi yake ilikuwa kiini cha Mhimili wa Muqawama (Mapambano).
14:41 , 2026 Jan 04
Watu 3,100 washiriki Itikafu katika Msikiti wa Jamkaran, Iran

Watu 3,100 washiriki Itikafu katika Msikiti wa Jamkaran, Iran

IQNA – Naibu mkurugenzi wa kitamaduni wa Msikiti wa Jamkaran mjini Qom, Iran, amesema zaidi ya watu 16,000 wamesajiliwa kushiriki katika ibada ya Itikafu ya mwezi wa Rajab.
14:33 , 2026 Jan 04
Hizbullah ya Lebanon yalaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela

Hizbullah ya Lebanon yalaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela

IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela na mashambulizi ya miundombinu muhimu, maeneo ya kiraia na makazi katika taifa hilo la Amerika ya Kusini.
14:24 , 2026 Jan 04
Qari wa Kimasri, Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, asoma Qur’ani Katika Msikiti wa Milwaukee

Qari wa Kimasri, Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, asoma Qur’ani Katika Msikiti wa Milwaukee

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri kutoka Misri, alisoma Qur’an katika msikiti wa Milwaukee, jimbo la Wisconsin, Marekani, Jumamosi jioni.
14:14 , 2026 Jan 04
Wanaharakati wa Palestina wamsifu Meya Mamdani wa New York kwa  hatua dhidi ya Israel

Wanaharakati wa Palestina wamsifu Meya Mamdani wa New York kwa hatua dhidi ya Israel

IQNA-Wanaharakati wa kutetea haki za Wapalestina wamemsifu Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, kwa kufuta amri za kiutawala zilizokuwa zikizuia shughuli za makundi yanayounga mkono Palestina.
20:46 , 2026 Jan 03
Shambulio dhidi ya Venezuela laonesha Marekani ni chhanzo cha uovu

Shambulio dhidi ya Venezuela laonesha Marekani ni chhanzo cha uovu

IQNA – Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa tamko kali kulaani shambulio la kijeshi lililofanywa na Marekani dhidi ya Venezuela, ikilitaja kuwa kitendo cha jinai.
20:28 , 2026 Jan 03
Kiongozi Muadhamu: Iran itampigisha magoti adui kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu

Kiongozi Muadhamu: Iran itampigisha magoti adui kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu na kusimama pamoja na wananchi “Inshaallah, tutampigisha magoti adui.”
20:11 , 2026 Jan 03
Uadilifu; Mhimili wa Utawala wa Kibinadamu wa Imam Ali (AS)

Uadilifu; Mhimili wa Utawala wa Kibinadamu wa Imam Ali (AS)

IQNA – Imam Ali (AS) si mfano tu wa uchaji Mungu kama mtu binafsi na usafi wa moyo, bali pia ni kielelezo adimu cha uongozi wa haki, uwajibikaji na unaomweka mwanadamu katikati ya utawala, afisa mmoja wa Iraq amesema.
19:54 , 2026 Jan 03
Tamasha la kimataifa la ‘Roho ya Unabii’ lazinduliwa Karbala

Tamasha la kimataifa la ‘Roho ya Unabii’ lazinduliwa Karbala

IQNA-Toleo la nane la tamasha la kimataifa la kitamaduni kwa wanawake, liitwalo ‘Roho ya Unabii’, limezinduliwa mjini Karbala, Iraq, siku ya Alhamisi.
18:51 , 2026 Jan 02
1