IQNA

Mijumuiko ya kote Ufaransa kulaani chuki dhidi ya Uislamu

Mijumuiko ya kote Ufaransa kulaani chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Muungano mpana wa makundi ya kisiasa, mashirika ya kiraia, wasomi, watafiti, waandishi na watu mashuhuri umetangaza maandamano ya kimya yatakayofanyika kote Ufaransa Jumapili, Mei 11, kulaani kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
21:03 , 2025 May 09
Kiongozi wa Ansarullah akosoa ukimya wa Umma wa Kiislamu kuhusu mauaji ya kimbari Gaza

Kiongozi wa Ansarullah akosoa ukimya wa Umma wa Kiislamu kuhusu mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Sayyid Abdul-Malik Badr al-Din al-Houthi, Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameeleza kuwa, jamii za Kiarabu na Umma wa Kiislamu zinabeba dhima ya msingi kuhusu mauaji ya kimbari yanayoendelea kutekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza akisisitiza matokeo mabaya ya kutochukua kwao hatua.
20:19 , 2025 May 09
Leo XIV ateuliwa kumrithi Papa Francis kama kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani

Leo XIV ateuliwa kumrithi Papa Francis kama kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani

IQNA-Kardinali Robert Prevost ametangazwa kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki. Yeye ndiye Papa wa kwanza kutoka Marekani na kuchukua jina la papa Leo XIV.
20:15 , 2025 May 09
Haram ya Imam Ridha (AS) katika usiku wa kumbukumbu ya kuzaliwa Kwake

Haram ya Imam Ridha (AS) katika usiku wa kumbukumbu ya kuzaliwa Kwake

IQNA – Mamia ya maelfu ya wafanyaziyara walikusanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran mnamo Mei 8, 2025, kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imamu huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya ya Sshia.
20:02 , 2025 May 09
Kubeba kadi ya Nusuk katika Hija ni wajibu; Je, ikipotea ufanyeje?

Kubeba kadi ya Nusuk katika Hija ni wajibu; Je, ikipotea ufanyeje?

IQNA – Kubeba kadi ya Nusuk ndani ya Saudi Arabia ni sharti kwa walio katika safari ya Hijja kwani ina taarifa muhimu. Lakini itakuwaje iwapo atapoteza?
10:57 , 2025 May 08
Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Abdulaziz Ali Faraj  akisoma aya ya Surah Maryam Surah

Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Abdulaziz Ali Faraj akisoma aya ya Surah Maryam Surah

IQNA- Ifuatayo ni qiraa (kisomo) ya aya 12 ya Surah Maryam ikisomwa na qarii wa Misri Sheikh Abdulaziz Ali Faraj.
10:32 , 2025 May 08
Ayatullah Javadi Amoli: Qur'ani Tukufu huwa na ujumbe mpya kwa kila zama

Ayatullah Javadi Amoli: Qur'ani Tukufu huwa na ujumbe mpya kwa kila zama

IQNA – Qur'ani Tukufu daima hubeba ujumbe mpya kwa kila kipindi, amesema mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu Ayatullah Abdollah Javadi Amoli.
10:06 , 2025 May 08
Hujuma ya India imeua watu 13 msikitini nchini Pakistan

Hujuma ya India imeua watu 13 msikitini nchini Pakistan

IQNA- Watu 13 Wauawa Katika Shambulio la India Kwenye Msikiti wa Pakistan: Afisa Shambulio la kombora la India kwenye msikiti huko Bahawalpur, mji katika Punjab ya Pakistan, afisa wa Pakistani alisema. Afisa huyo aliongeza kuwa wanawake na watoto walikuwa miongoni mwa waliouawa katika shambulio hilo.
22:16 , 2025 May 07
Ayatullah Khamenei: Kazi muhimu ya Hauza ni kufikisha ujumbe wa ustaarabu mpya wa Kiislamu

Ayatullah Khamenei: Kazi muhimu ya Hauza ni kufikisha ujumbe wa ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA-Katika ujumbe wake kwa kongamano la "Miaka 100 wa Kuanzishwa Hauza ya Qum nchini Iran," Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Kazi muhimu zaidi ya Hauza na taasisi ya kielimu ya vyuo vikuu vya kidini, ni kufikisha ujumbe wa wazi na kuweka msingi wa ustaarabu mpya wa Kiislamu."
21:36 , 2025 May 07
Uzinduzi wa Msikiti wa Al-Mustafa na Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani katika mji mkuu wa Ghana

Uzinduzi wa Msikiti wa Al-Mustafa na Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani katika mji mkuu wa Ghana

IQNA – Msikiti mpya umezinduliwa katika mji mkuu wa Ghana kwa ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya Qatar .
16:57 , 2025 May 07
Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, alimtembelea Ayatullah Hossein Ali Nouri Hamedani katika hospitali moja mjini Tehran.
16:49 , 2025 May 07
Uanzishwaji wa Sekretarieti ya Kudumu kwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran 

Uanzishwaji wa Sekretarieti ya Kudumu kwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran 

IQNA – Mkutano umefanyika Tehran Jumatatu ili kujadili mikakati ya kuendeleza vipengele vya kimataifa vya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. 
23:58 , 2025 May 06
Maktaba ya Kitaifa ya Misri inahifadhi hati adimu za Qur’ani kutoka historia ya Kiislamu

Maktaba ya Kitaifa ya Misri inahifadhi hati adimu za Qur’ani kutoka historia ya Kiislamu

IQNA-Maktaba na Makavazi ya Kitaifa ya Misri, inayojulikana kama Dar Al-Kutub, inahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa hati za Qur’ani za kale na za kihistoria, baadhi yake zikiwa na zaidi ya miaka elfu moja.
23:49 , 2025 May 06

"Tuko Katika Ahadi": Kaulimbiu Kuu ya Matembezi  ya Arbaeen    

IQNA-Iran imetangaza kaulimbiu rasmi ya matembezi adhimu ya ya Arbaeen mwaka 1447 (2025), ni Inna Ala Al-Ahd" (Tuko Katika Ahadi") ili kuonyesha uaminifu kwa maadili ya Imam Hussein (AS). 
23:38 , 2025 May 06
Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

IQNA – Mpango mpana wa uendeshaji kwa msimu wa Hija utazinduliwa nchini Saudi Arabia, huku tangazo rasmi likipangwa kutolewa Alhamisi. 
23:19 , 2025 May 06
15