Mufti wa Quds na Ardhi za Palestina Sheikh Muhammad Hussein amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh limefanya matendo yanayopotosha sura ya Uislamu na ni tishio kwa Umma wa Kiarabu na Waislamu.
2014 Sep 15 , 20:03
Wanazuoni waandamizi wa Kishia na Kisunni nchini Uingereza wamefanya kikao cha pamoja na kujadili njia za kuimarisha umoja miongoni mwa Waislamu sambamba na kukabiliana na kampeni za kuibua fitina katika ulimwengu wa Kiislamu.
2014 Sep 14 , 07:37
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani bunge la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inataka kuimarisha umoja, udugu na mwamko wa Kiislamu katika ulimwengu wa Kiislamu.
2014 Sep 09 , 20:52
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Ayatullah Mohsen Araqi ameashiria ufanisi wa mapambano ya watu wa Palestina mbele ya hujuma ya utawala wa Kizayuni katika vita vya hivi karibuni vya Ghaza.
2014 Sep 09 , 17:12
Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Isalmi ya Palestina
Ramadhan Abdullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulipata pigo la kistratijia hivi akribuni katika vita vyake vya siku 51 dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
2014 Sep 09 , 17:01
Mufti Mkuu wa Bulgaria ametahadharisha juu ya kuongezeka mashambulio yaliyoratibiwa dhidi ya Waislamu na maeneo ya ibada ya Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya.
2014 Sep 01 , 15:24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanapaswa kutafuta radhi za Allah SWT sambamba na kulinda Mapinduzi ya Kiislamu.
2014 Aug 28 , 12:21
Ali Larijani Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema , leo taifa la Iran linafakhari kuwa, kwa uwezo wake wote limeweza kulisaidia taifa la Palestina katika kipindi chake kigumu zaidi.
2014 Aug 28 , 12:18
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka jamii ya kimataifa na hususan mashirika ya misaada ya kibinadamu kuushinikiza utawala wa Kizayuni uache kuuzingira Ukanda wa Ghaza na uruhusu misaada ya kibinadamu iwafikie wakazi wa ukanda huo uliozingirwa kila upande.
2014 Aug 18 , 18:21
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa muqawama umejiandaa kikamilifu dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni na kwamba katika vita vijavyo na jeshi la utawala huo, hakutakuwa na mstari wowote mwekundu na adui huyo.
2014 Aug 15 , 09:39
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapaswa kulipa fidia ya jinai zake huko Ghaza kwa kuondoa mzingiro dhidi ya Wapalestina katika ukanda huo wa pwani.
2014 Aug 14 , 10:57
Jumiya ya Nchi za Kiarabu hatimaye imetoa tamko la kulaani jinai zinazofanywa na kundi la kigaidi la Daesh baada ya kimya cha muda mrefu.
2014 Aug 11 , 19:02
Khalid Mashal Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina Hamas amesema kuwa, usitishaji wowote wa vita unapaswa kufungamana na uondoshwaji mzingiro wa kidhuluma uliowekwa dhidi ya wananchi wa Ghaza.
2014 Aug 11 , 18:30