iqna

IQNA

baqii
IQNA - Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi yamefanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mnamo Aprili 17, 2024.
Habari ID: 3478707    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/20

TEHRAN (IQNA)-Tarehe tisa Shawwal ni kumbukizi ya namna Mawahhabi walivyombomoa makaburi ya Ahul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii katika mji mtakatifu wa Madina takribani miaka 96 liyopita.
Habari ID: 3475232    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/10

TEHRAN (IQNA) Alhamisi tarehe nane Shawwal 1442 Hijria, sawa na tarehe 20 Mei 2021 ni kumbukumbu ya Mawahhabi kubomoa makaburi ya Ahul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii katika mji mtakatifu wa Madina takribani miaka 95 liyopita.
Habari ID: 3473930    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/20

TEHRAN (IQNA)- Naibu Spika wa Bunge la Iraq Hassan Karim al-Kaabi ametoa wito kwa Saudi Arabia kukarabati Makaburi ya Baqii katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3472826    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02