iqna

IQNA

Qaradagh
Hali ya Al Quds na Palestina
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani (IUMS) umetoa wito kwa Waislamu duniani kote na viongozi wa mataifa ya Kiislamu kuutetea Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Al Quds (Jerusalem) ambao unakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3475318    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31