iqna

IQNA

Abdolahian
Uadui wa utawala wa Israel
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mazungumzo yake na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) au UAE) kwamba kuwepo utawala pandikizi wa Kizayuni katika eneo hili ndiyo sababu ya ukosefu wa utulivu na amani kama ambavyo ndio ulioleta vitendo vya kigaidi na uharibifu katika eneo hili zima.
Habari ID: 3475399    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20