iqna

IQNA

birmingham
Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)
BIRMINGHAM (IQNA) - Kundi la wanazuoni, wasomi, na viongozi wa kidini na wa kijamii kutoka duniani kote wanakutana mwezi ujao katika Kongamano la kwanza la kila mwaka la "Maisha ya Mtume Muhammad (SAW)", tukio lililopangwa kubadilishana maarifa na kubadilishana maoni kati ya Waislamu na wasio Waislamu.
Habari ID: 3477510    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/28

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mzee wa miaka 73 alivamiwa na majambazi watatu alipokuwa akielekea nyumbani baada ya kuswali kwenye msikiti mmoja katika mji wa Birmingham nchini Uingereza.
Habari ID: 3476790    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31

TEHRAN (IQNA)- Shule moja nchini Uingereza imewalisha wanafunzi Waislamu nyama ya nguruwe jambo ambalo limeibua hasira kali miongoni mwa wazazi.
Habari ID: 3475266    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya Waislamu zaidi ya 100,000 wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr Jumapili katika bustani moja Uingereza na kuufanya mjumuiko huwa kuwa mkubwa zaidi wa sala ya Idi barani Ulaya.
Habari ID: 3471038    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/27