iqna

IQNA

nakba
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran anasema ukombozi wa Palestina na mwisho wa hali ya janga ambalo Wapalestina wanakabiliwa nalo unakaribia kwani utawala wa Kizayuni wa Israel unaonekana kuwa dhaifu kuliko hapo awali.
Habari ID: 3476928    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Mashabiki wa Tunisia waliinua bendera ya 'Palestine Huru' dakika ya 48 dhidi ya Australia kumkumbuka Tukio la Nakba.
Habari ID: 3476156    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/27

TEHRAN (IQNA)- Miaka 74 iliyopita, utawala bandia wa Israel ulitangaza uwepo wake baada ya kufanya mauaji makubwa ya umati dhidi ya Wapalestina. Siku hii inajulikana kama Siku ya Nakba.
Habari ID: 3475260    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/16

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje Iran imetoa tamko kuhusu siku ya "Nakba" yaani siku ya nakama ya kuasisiwa utawala pandikizi wa Kizayuni katika ardhi walizoporwa Wapalestina na kusisitiza kuwa, kadhia ya Palestina itaendelea kuwa suala kuu nambari moja katika ulimwengu wa Kiislamu licha ya kufanyika njama nyingi za kulisahaulisha.
Habari ID: 3472767    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/15

TEHRAN (IQNA) -Utawala dhalimu wa Israel umewaua kwa umati Wapalestina sambamba na hatua iliyo kinyume cha sheria za kufunguliwa ubalozi wa utawala wa Marekani katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471515    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/16