IQNA-Afisa wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa taarifa za kijasusi za Israel zilichochea mapigano ya Darfur, Sudan ili kuisukuma hali kuelekea kwenye mgogoro na mgawanyiko zaidi, na kwamba mapigano ya sasa nchini humo hatimaye yataishia kwa kugawanywa katika maeneo kadhaa.
15:54 , 2025 Nov 27