Hatua hiyo ilikuwa kwa kisingizio cha sherehe za walowezi wa Kizayuni katika ua wa Ukuta wa Magharibi (Medani ya Al-Buraq) wa jengo la Msikiti wa Al-Aqsa, kwa mujibu wa shirika rasmi la habari la Palestina Wafa.
Mapema Jumatatu pia, walowezi kadhaa wa Kiyahudi-Kizayuni waliokuwa wakisindikizwa na polisi katili wa Israel walivamia msikiti huo mtakatifu, alisema Wafa.
Mvutano kati ya Israel na serikali ya Jordan, ambayo ni msimamozi rasmi wa Msikiti wa Al-Aqsa, umekuwa mkubwa katika miezi ya hivi karibuni kutokana na kuongezeka kwa Israel katika eneo la msikiti huo.
3483330